AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wameeleza hofu ya kuibuka kwa wimbi hilo kwenye mkutano wa hadhara ambao umefanyika katika Kitongoji cha Mapinduzi na kuhudhuriwa na makundi mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini, viongozi wa mila, watetezi wa Haki za binaadamu na Jeshi la Polisi.
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mapinduzi, Tukubagha Mnyanya, amesema matukio hayo yalianza kusikika Februari 14 mwaka huu ambapo binti wa darasa la saba alibakwa na watu wasiojulikana wakati anatoka shuleni jioni.
Mchungaji wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT), Vumilia Mwasenga, ameeleza kuwa watoto wengine watatu walivyonusulika kubakwa jumapili wakiwa kanisani.
Diwani wa Kata hiyo, Kisman Mwangomale amesema katika Kitongoji cha Mapinduzi matukio ya ajabu yamekuwa yakitokea sana kwa madai kuwa kuna watu wamekuwa wakiuawa na kufichwa ndani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK