Wema Sepetu afunguka na kuwashukuru Bodi ya Filamu baada ya kumuachia huru kuendelea na kazi zake za sanaa (+ Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bodi ya Filamu hapa nchini Imetangaza rasmi kumfungulia Star wa Filamu hapa nchini Wema Sepetu Sehemu ya adhabu ambayo walimpatia kutokana na video yake chafu Kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha yupo kimahaba na mtu aliyetajwa yuko nae katika mahusiano.


Katika mkutano na waandishi wa Habari Bodi Imeeleza Kuwa haijamfungulia Wema Kwa kumuonea Huruma Ila wamefanya Hivyo Kwa Sababu ametekeleza Aslimia 75 ya Mambo waliyomuagiza ayafanye. Kwa upande wake Wema amesema kuwa hatorudia tena kosa kwani ilikua mara ya Kwanza Kufungiwa na Bodi huku akionesha Furaha kubwa ya Kupata msamaha Huo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad