AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu mkuu huyo ametoa kauli hiyo jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu hatua walizochukua kwa wanachama wa chama hicho waliohamia ACT Wazalendo kwa kuharibu mali za CUF ikiwemo bendera na ofisi za chama hicho.
Amesema takribani ofisi 100 za chama cha CUF zimepakwa rangi ya ACT Wazalendo hivyo hawawezi kufumbia macho hujuma hizo dhidi ya chama chao.
Katika hatua nyingine khalifa amesema wabunge wa CUF waliokuwa wanamuunga mokono maalim Seif Sharif Hamad wanatakiwa kushirikiana na chama hicho pekee na wale watakaobainika kuimarisha vyama vingine hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.
Kesi hiyo ya kiraia namba 19 ya mwaka 2019,imefunguliwa dhidi ya waliokuwa wanachama wa chama hicho kwa kuchoma bendera pamoja na kubadilisha rangi za ofisi za chama cha CUF visiwani Zanzibar,baada ya kuhamia chama cha ACT Wazalendo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK