Hatimaye Zitto Kabwe Amkabidhi Maalim Seif Kadi ya ACT Wazalendo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hatimaye Zitto Kabwe Amkabidhi Maalim Seif Kadi ya ACT Wazalendo
Maalim Seif Sharif Hamad, ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa CUF, amekabidhiwa kadi namba moja ya Chama cha ACT Wazalendo.

Baadhi ya Wanachama wengine wa CUF waliokabidhiwa Kadi za ACT Wazalendo, ni pamoja na aliyekuwa Mgombea mwenza wa Urais katika Uchaguzi wa mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA, Juma Duni Haji, na Ismail Jussa.

Utakumbuka hapo jana  Marchi 18, 2018 aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif  alitangaza kujiunga na Chama cha ACT Wazalendo. Hiyo ni baada ya Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba kutimua kiongozi hiyo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad