James Kotei afunguka kuhusu Rais Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

James Kotei afunguka kuhusu Rais Magufuli
Kiungo wa Simba James Kotei raia wa Ghana, amesema kwasasa ana undugu na Rais Magufuli na anaiunga mkono Taifa Stars huku akiwaomba msamaha wachezaji wenzake Emmanuel Okwi na Juuko Murushid ambao wanachezea Uganda.


Kupitia ukurasa wake wa Instagram Kotei amesema amebatizwa na anaitwa James Magufuli kutoka Mwanza hivyo anashabikia Stars.

''Okwi na Juuko mtanisamehe mimi naitwa James Magufuli, kutoka Mwanza Tanzania, kesho nitashabikia Taifa Stars'' amendika James Kotei.


Kotei ambaye amekuwa kiungo tegemeo wa Simba, amejihami kuwa hakuna mtu aliyemwandikia ujumbe huo hivyo watu waamini kuwa ni yeye.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad