AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Kotei amesema amebatizwa na anaitwa James Magufuli kutoka Mwanza hivyo anashabikia Stars.
''Okwi na Juuko mtanisamehe mimi naitwa James Magufuli, kutoka Mwanza Tanzania, kesho nitashabikia Taifa Stars'' amendika James Kotei.
Kotei ambaye amekuwa kiungo tegemeo wa Simba, amejihami kuwa hakuna mtu aliyemwandikia ujumbe huo hivyo watu waamini kuwa ni yeye.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK