Mahakama yazuia mali za Manji kisa deni la Tsh. Bilioni 25.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mahakama Kuu imezuia mali za mfanyabiashara maarufu nchini na Mwanachama wa Yanga, Yusuph Manji kutokana na madeni anayodaiwa na Benki ya NBC

Manji anadaiwa zaidi ya Tsh. Bilioni 25 ambazo ameshindwa kuzirejesha kwa wakati kwa mujibu wa mkataba hivyo kusababisha mali zake zilizopo Mwanza na Dar es Salaam ambazo ziliwekwa dhamana, kuzuiwa

Mali hizo zimezuiwa kwa oda mbili tofauti za Mahakama hiyo, zinazomzuia Manji kufanya muamala wa aina yoyote kuzihusu ikiwamo kuhamisha umiliki kama zawadi, kuuza au kuweka dhamana

NBC ilifingua kesi mwaka 2016 ikizishtaki kampuni za Farm Equip (T) Limited, Tanperch Limited na Quality Group Limited zinazomilikiwa na Kaniz Manji na Yusuf Manji kwa kushindwa kurejesha mkopo wa Sh15.9 bilioni.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad