Makubwa..Isabella Akiri Kumpenda Kaka wa Godzilla

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya kaka yake Godzilla kusema hawamtambui Isabella Mpanda kama mpenzi wa marehemu Godzila na kumtaka kuacha kumtafutia mdogo wake skendo ambazo hakuwa nazo, Bella amesema anampenda shemeji yake.

Akiongea kupitia eNEWZ Bella amesema kwamba hakuwa akimfahamu kaka yake na Zilla na wala hawakuwahi kukutana hata siku moja kwa kuwa alikuwa anakaa nje ya Dar es Salaama japo baada ya kumzika Zilla kaka yake alienda nyumbani kwa Bella na wakapata kuongea mambo machache ambayo Bella hakutaka kuyaweka wazi.

"Mimi nampenda sana Shemeji yangu na kwa kweli nitampenda mpaka mwisho wa maisha yetu ya hapa duniani sikuwa namfahamu na wala sikuwahi kukutana naye kabla ya msiba wa Zilla ila baada ya kumzika Zila alinitafuta na tukaongea naye mambo yetu wenyewe ambayo sitaweza kuyasema hapa zaidi ya kusema tu nampenda sana shemeji yangu", aliongea Bella.

Miss Bella Pia anasema kuwa kundi la Scorpion Girls hawapendani ndio maana wameshindwa kurudisha kundi hilo japo anasema hawezi kusema limekufa maana huenda wakaja wakarudiana na kutoa nyimbo ya pamoja japo kwa sasa yeye ameamua kutoa nyimbo zake mwenyewe na atakuwa anatoa nyimbo hizo mara kwa mara na sio kama zamani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad