Meya wa Manispaa ya Ilala Charles Kuyeko(CHADEMA) amejiuzulu leo Machi 23 Na Kuhamia CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Meya wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam, Charles Kuyeko (Chadema)  leo Jumamosi Machi 23, 2019 ametangaza kujiuzulu uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.

Kuyeko ambaye ni diwani wa Bonyokwa amesema anamshukuru Rais wa Tanzania, John Magufuli Kwa kazi ya ajabu ya kutukuka ambayo anaifanya na kuomba Watanzania kumuunga mkono.

 "Rais Magufuli ni mtu wa kuigwa, anastahili sifa na kazi ya kutukuka, nawaheshimu Viongozi wa CHADEMA kwa kunipa nafasi, nawashukuru na nitaendelea kuwaheshimu lakini mapenzi yangu ya dhati ni CCM" Amesema
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad