Muna Love "Maneno Yangeniweka Mbali na Wokovu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Muna: Maneno Yangeniweka Mbali na Wokovu

MSANII wa filamu Bongo, Rose Alphonce ‘Muna’ amesema kuwa kama angesikiliza kejeli za watu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii hakika as­ingekuwa na wokovu alionao mpaka Leo.  Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Muna alisema kuwa maneno ya kwenye mitandao yanaumiza sana kiasi kwamba kama mtu huna Mun­gu wa kweli huwezi kuvumilia na unaweza kujikuta unaweka wokovu pembeni.

“Kama nisingem­pokea Yesu vizuri maneno ya kwenye mitandao yangeniten­ganisha na wokovu kwani safari yangu ya kuokoka ingeishia njiani, Mungu alinisima­mia mpaka leo sijate­tereka,” alisema Muna.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad