AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSANII wa filamu Bongo, Rose Alphonce ‘Muna’ amesema kuwa kama angesikiliza kejeli za watu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii hakika asingekuwa na wokovu alionao mpaka Leo. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Muna alisema kuwa maneno ya kwenye mitandao yanaumiza sana kiasi kwamba kama mtu huna Mungu wa kweli huwezi kuvumilia na unaweza kujikuta unaweka wokovu pembeni.
“Kama nisingempokea Yesu vizuri maneno ya kwenye mitandao yangenitenganisha na wokovu kwani safari yangu ya kuokoka ingeishia njiani, Mungu alinisimamia mpaka leo sijatetereka,” alisema Muna.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK