AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage ameyasema hayo leo Jumanne Machi 5,2019 alipokuwa akizungumza na wawakilishi wa vyama vya siasa.
Mbali na kuongeza idadi ya vituo, Jaji Kaijage amesema vituo 6,208 vimebadilishwa majina na vituo 817 vimehamishwa kutoka kijiji/mtaa mmoja kwenda mwingine.
Kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura, Jaji Kaijage amesema mchakato wa kupata vifaa vya kukarabati machine za BVR umekamilika.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK