Wanaokopesha Fedha Mitaani Watakiwa Kujisalimisha TRA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi amewaagiza Wafanyabiashara wanaokopesha fedha kwa watu mitaani mkoani humo kujisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) ili wakadiriwe kodi

Alisema kuwa "Kama wanafanya biashara hiyo bila ya kuwa na leseni ya biashara hiyo naagiza vyombo vya dola na mamlaka zingine zinazohusika ziwasake na kuwachukulia hatua kwa mujibu wa sheria."

Alieleza kuwa "Nimetoa uamuzi huo baada ya kubaini kuwepo na Wafanyabishara wanaokopesha fedha watu kwa riba kubwa na wanaposhindwa kufanya marejesho, hutaifisha mali zao zikiwemo nyumba."
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad