AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi amewaagiza Wafanyabiashara wanaokopesha fedha kwa watu mitaani mkoani humo kujisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) ili wakadiriwe kodi
Alisema kuwa "Kama wanafanya biashara hiyo bila ya kuwa na leseni ya biashara hiyo naagiza vyombo vya dola na mamlaka zingine zinazohusika ziwasake na kuwachukulia hatua kwa mujibu wa sheria."
Alieleza kuwa "Nimetoa uamuzi huo baada ya kubaini kuwepo na Wafanyabishara wanaokopesha fedha watu kwa riba kubwa na wanaposhindwa kufanya marejesho, hutaifisha mali zao zikiwemo nyumba."
Alisema kuwa "Kama wanafanya biashara hiyo bila ya kuwa na leseni ya biashara hiyo naagiza vyombo vya dola na mamlaka zingine zinazohusika ziwasake na kuwachukulia hatua kwa mujibu wa sheria."
Alieleza kuwa "Nimetoa uamuzi huo baada ya kubaini kuwepo na Wafanyabishara wanaokopesha fedha watu kwa riba kubwa na wanaposhindwa kufanya marejesho, hutaifisha mali zao zikiwemo nyumba."
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK