ACT Wazalendo Waitisha Maandamano ya Upinzani Nchi Nzima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Umoja wa Vijana wa Chama cha ACT-Wazalendo umekiri kuwaandikia barua ngome za vijana za vyama vya upinzani nchini kwa ajili ya kushiriki maandamano ya pamoja kupinga uamuzi wa Bunge wa kutofanya kazi na CAG.


Ngome ya vijana ya ACT imesema kuwa inapinga hatua hiyo kwa nguvu zote kwa sababu linakwenda kuua misingi ya ya utawala bora na uwajibikaji.

Pia imesema nia yao ni kufanya maandamano ya amani kwa lengo la kuwakumbusha wabunge na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Bunge ni mali ya umma.

April 2, 2019, Bunge la Tanzania liliazimia kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali CAG, Prof Mussa Assad kwa kutoa kauli yake katika mahojiano na redio ya Umoja wa Mataifa nchini Marekani ambayo iliyoashiria kulidhalilisha Bunge baada ya kusema kuwa Bunge ni 'dhaifu'.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad