AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
United wamepoteza jumla ya michezo sita ya hivi karibuni ikiwa ni mechi nane katika michuano yote waliyokuwa wakishiriki ikiwemo ligi ya mabingwa barani ulaya.
Mchezo dhidi ya Everton ulikuwa ni muhimu sana kwa klabu hiyo katika mbio za kuwania nafasi nne za juu ili kuweza kushiriki ligi ya mabingwa msimu ujao.
boss
” Nataka niombe radhi kwa mashabiki wote wa klabu hii tulizidiwa katika kila idara ila tulipata hamasa ya kutosha toka kwa mashabiki wetu na tutajitahidi kufanya vyema siku ya jumatano.” Hii ilikuwa Kauli ya Ole Gunnar Solskjaer, baada ya kumalizika kwa mchezo
Kwa Upande wake golikipa wa Man United David De Gea aliyekuwa nahodha katika mchezo huo amesema was ” Ni ngumu kuweka katika manene vile anavyojisikia baada ya kipigo hicho kikubwa toka Ole apewe jukumu la kuinoa klabu hiyo.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK