AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mzambia huyo juzi Jumamosi alikuwa mmoja wa viungo walioanza katika kikosi cha Simba katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe, Mechi hiyo ilimalizika kwa suluhu.
Timu hizi mbili zitarudiana Aprili 13, katika mechi ya pili itakayopigwa Lubumbashi, DR Congo kuamua timu itakayofuzu nusu fainali.
Mchezaji huyo amesema kuwa matokeo hayo kwao hayakuwa bora sana lakini watapambana katika mechi ya Congo ili wapate ushindi, na hawakuwa wanataka mechi hiyo imalizike namna ile.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK