Faiza Ally Afunguka Baada ya Mbunge Sugu Kusema Anamuunga Mkono Rais Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

From Faiza Ally -  Baba Sasha yuko sawa kabisa kumuunga Rais Mkono , kwa sababu kama anaweza kumkosoa rais anapo kosea  kwa nini asimuunge mkono anapo patia ? Rais wetu ana fanya mengi mazuri , Mimi nampenda na naungana na baba Sasha na watanzania wote wanao muunga mkono Rais wetu Mh Magufuli , mm naona mema mengi na sio mema ana wajibika na namkubali sana ! wanachama lazima waelewe swala la vyama na la nchi ! Rais akifanya mazuri ni ya wananchi wote sio ya chama .

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad