AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mapema leo Kamati ya Bunge ya Kinga, Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imemtia hatiani Mbunge huyo kwa kudharau Bunge kwa kuita Bunge ni dhaifu na hivyo kamati imeazimia Lema kutohudhuria mikutano mitatu ya Bunge kuanzia leo.
"Nimesimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge mpaka January 2020.Moyo wangu una amani sana,kwani mahusiano yangu na HAKI yanaendelea kuimarika zaidi. Nawatakia Wabunge wenzangu kazi njema katika wajibu huu,sitanyamaza hata kama adhabu itakuwa ni mauti," ameandika Lema kwenye mtandao wa Twitter.
Hayo yanajiri ikiwa ni siku moja kupita tangu Bunge kuazimia kumsimamisha mikutano Miwili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kutokana na kukiri kuunga mkono kauli ya CAG ya kusema mbunge ni dhaifu ikiwa ni mara yake ya nne kutenda makosa hayo ya kulidharau Bunge na kupewa adhabu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK