AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wambura anakabiliwa na mashitaka 17 likiwepo lile la utakatishaji wa fedha na kughushi nyaraka akiwa mfanyakazi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Wakili wa serikali aliiambia mahakama kuwa kwenye upelelezi wao kwa sasa unaendelea na wapo kupitia nyaraka tofauti ambazo kwa sasa hawezi kusema ni zipi.
Hata hivyo wakili wa mshitakiwa, Majura Magafu aliiambia mahakama kuwa serikali wanapaswa kuharakisha upelelezi na ili waweze kufahamu kesi yao ni ya status gani.
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Mkazi Kisutu, Kelvin Mhina alisema kuwa upelelezi unatakiwa kufanyika mapema ili kesi hiyo ianze kusikilizwa.
Kesi hiyo imeahirishwa mpaka Aprili 25, mwaka huu ambapo itaendelea kusikilizwa na mtuhumiwa ataendelea kubaki ndani kutokana na kutokuwa na dhamana.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK