Marekani Kuziwekea Vikwazo Nchi Zinazonunua Mafuta Ya Iran

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ikulu ya Marekani imetangaza  kuyawekea vikwazo mataifa yanayoendelea kununua mafuta kutoka Iran katika juhudi za kuongeza mbinyo kwa taifa hilo la Kiislamu linalouza mafuta kwa wingi duniani.

Kwenye taarifa iliyotolewa na ikulu ya White House Rais Donald Trump amesema ameamua kutoongeza muda wa kuzisamehe vikwazo hivyo baadhi ya nchi washirika baada ya kufikia muda wake wa mwisho mapema mwezi ujao.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa hatua hiyo inalenga kuifanya Iran isiuze kabisa mafuta nje ili kuikosesha nchi hiyo mapato yatokanayo na bidhaa hiyo ambayo ndio chanzo chake kikuu cha fedha za kigeni.

Saudi Arabia kwa upande wake imesema iko tayari kuweka uthabiti katika soko la mafuta baada ya hatua hiyo ya Marekani hii ikiwa ni kulingana na waziri wa mafuta wa nchi hiyo Khalid al-Falih.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad