Shabiki wa Simba Aliyetembea kwa Miguu Toka Mbeya Hadi Dar Apata Ofa na Klabu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shabiki wa Simba Aliyetembea kwa Miguu Toka Mbeya Hadi Dar Apata Ofa na Klabu
Shabiki wa klabu ya Simba aliyetembea kwa mguu kutoka Mbeya hadi Dar es salaam kushuhudia mchezo wa Simba na TP Mazembe amepewa ofa na klabu.

Shabiki huyo amepewa ofa ya kusafiri na timu hadi Lubumbashi kuishuhudia na kuisapoti timu yake itakapocheza mchezo wa marudiano wa hatua ya robo fainali na TP Mazembe wikiendi hii.

Shabiki huyo Ramadhan Mohamed aliitwa na viongozi wa klabu, wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi na sekretarieti ambapo amehaidiwa kugharamiwa na klabu kwenda Lubumbashi kuangalia mchezo huo wa marudiano.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad