AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shabiki huyo amepewa ofa ya kusafiri na timu hadi Lubumbashi kuishuhudia na kuisapoti timu yake itakapocheza mchezo wa marudiano wa hatua ya robo fainali na TP Mazembe wikiendi hii.
Shabiki huyo Ramadhan Mohamed aliitwa na viongozi wa klabu, wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi na sekretarieti ambapo amehaidiwa kugharamiwa na klabu kwenda Lubumbashi kuangalia mchezo huo wa marudiano.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK