Siwezi Kuzeeka Kwasababu Sina Stress- Monalisa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MUIGIZAJI wa kitambo Bongo, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ amesema kuwa hawezi kuzeeka kwa sababu hana kabisa stress na ndiyo maana kila siku anaonekana mrembo. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Monalisa alisema kuwa mara nyingi amekuwa akiulizwa swali la nini anatumia kiasi cha kumfanya asizeeke lakini anaeleza kwamba siri ya kuwa hivyo ni kutokana na muda mwingi kuwa na furaha na kutokuwa na stress za maisha.

“Mimi kwa kweli sina stress na sio kwamba sina matatizo ila niliamua sio kila jambo baya au linaloniumiza nalibebe, huwa naamua kuyapotezea kwa sababu nikisema nibebe dunia hii kuna mambo mengi, nitazeeka bure,” alisema Mona. Akasema kuwa mara, nyingi amekuwa na mbinu nyingi za kutafuta nini cha kufanya ili kichwa chake kiwaze kazi na sio kushindwa au kuwaza kitu ambacho kitamfanya akose amani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad