AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bila ya kuahirisha Uingereza itajitoa kutoka Umoja wa Ulaya bila makubaliano usiku wa manane siku ya Ijumaa hali ambayo inaweza kuzusha mkanganyiko wa kiuchumi.
May anataka kuahirisha Brexit kutoka Aprili 12 hadi Juni 30 ili kuweza kutayarisha kujitoa kwa utaratibu mzuri , lakini viongozi wa Umoja wa Ulaya waliokusanyika mjini Brussels kwa ajili ya mkutano huo wanatarajiwa kumpa muda mrefu zaidi wa uchelewesho, wa hadi mwaka mmoja.
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel aliliambia bunge mjini Berlin kabla ya kwenda Brussels kwamba viongozi huenda wakaunga mkono ucheleweshwaji huo kwa muda mrefu kuliko waziri mkuu wa Uingereza alivyoomba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK