AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akijibu swali hilo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amesema kwamba wananchi kutii sheria bila shuruti ili kuweza kuepuka migongano isiyo ya lazima.
Jafo amesema, "jambo la kwanza kama taifa ni kushirikiana kila eneo. Vyombo vingine vinaongozwa kwa sheria, taratibu na kanuni na haswa katika suala la mambo ya ndani na sitaki kuingilia"
"Imani yangu ni kwamba wananchi watafuata taratibu, wa kutii sheria bila shuruti ili kuepuka migongano inayoonekana siyo ya lazima kwa afya ya taifa letu" amesema.
Siku ya jana Kamanda wa Polisi Gilles Muroto aliwaonya Vijana wa Jumuiya ya ACT - Wazaleondo na vyama vingine vya upinzani waliopanga kufanya maandamano leo Aprili 9, 2019 kusitisha maandamano yao, wasije kuingia barabarani maana watapigwa na kuchakaa.
Mbali na hilo Waziri Jafo amekiri kwamba wapo viongozi wa Mkoa na Wilaya ambao wanafanya vibaya na wapo kwenye tathmini.
"Hali ilikuwa mbaya, tulikuwa na MaDC na MaRC wanaofanya vibaya,sisi ndani tunafanya tathmini, tuvute subira" amesema Waziri Jafo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK