AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Hakuna mtu ambaye anajua kilichopo moyoni mwangu, nia yangu kubwa ni kuzaa na Linah, napenda kuwa na mtoto naye si unajua kama mwanamke unayempenda unatamani kuzaa naye ndio ilivyo kwa Linah, na Mungu akipenda ni mwaka huu mambo yatakuwa mazuri,” alisema Amini ambaye leo anatarajia kuachia video ya wimbo wao mpya waliofanya na Linah unaokwenda kwa jina la Nimenasa.
Wawili hao kabla ya kurudiana hivi karibuni na penzi lao la sasa kuwa motomoto, waliwahi kuachana miaka kadhaa iliyopita na kila mtu akashika hamsini zake kwa kuwa na mtu mwingine. Baada ya kila mmoja kumwagana na mtuwe kwa nyakati tofauti, wameamua kurejesha penzi lao kwa kasi na sasa wamekuwa wakigandana kama ilivyokuwa zamani wakati penzi lao linachipukia
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK