AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni ya Kimarekani ya Google imetangaza kuizuia Huawei kutumia toleo jipya la programu ya kuendesha simu za mkononi ya Android, hiyo ikiwa na maana kuwa kampuni hiyo ya Kichina haitapata tena ruhusa ya kutumia programu hiyo muhimu katika simu zake mpya.
Marekani inashuku kuwa Huawei huweka katika vifaa inavyovitengeneza, programu za siri za kijasusi zinazoweza kuhatarisha usalama wake wa taifa.
Huawei inazikanusha shutuma hizo. Katika tangazo lake la hivi punde, Huawei imesema itaendelea kutoa huduma za kiusalama kwa watumiaji wa simu zake ambazo tayari zimekwishanunuliwa, na zile ambazo bado ziko madukani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK