AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Oparesheni hiyo ya Jumatano imekuja kabla hata ya kupita siku mbili baada ya vikosi vya Somalia kuwaua magaidi 11 wa al Shabaab kwenye mapigano yaliyotokea mkoa wa Shabelle ya kati kusini mwa Somalia.
Wakati huohuo vikosi vya usalama vya Somalia vimewakamata magaidi wanne kwenye opresheni iliyofanywa Weydow.
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakishirikiana na askari wa kikosi cha Umoja wa Afrika maarufu kama AMISOM wameimarisha vita dhidi ya magaidi wakufurishaji wa al-Shabab katika maeneo ya kati na kusini mwa Somalia ambapo wamefanikiwa kuwaangamiza magaidi wengi.
Somalia ilitumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 1992 na katika miaka ya hivi hivi karibuni nchi hiyo imeshuhudia kushadidi hujuma za magaidi wakufurishaji wa Al Shabab na hivyo kuwasababishia raia wa nchi hiyo matatizo makubwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK