AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amesema hayo leo Alhamisi, Mei 16, 2019 wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam na kuongeza kuwa wagonjwa ikoani Singida, Kilimanjaro na Pwani wote walitokea Mkoa wa Dar es Salaam na waligunduliwa na ugonjwa huo baada ya kufika kwenye mikoa hiyo.
Aidha, hakuna vifo zaidi vilivyoripotiwa sasa mbali na viwili vilivyoripotiwa awali mwezi huu wa Mei huku akiwataka wananchi kuchukua tahadhari na endapo wataona dalili zilizoainishwa kuhusu ugonjwa huo, wawahi katika vituo vya afya kwa vipimo na matibabu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK