Mhe Jokate Mwegelo: Mimi actually ndio nimefanya watu wengi wampende Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kisarawe District Commissioner, Mhe Jokate Mwegelo has come out claiming she is behind Harmonize´s success because she urges her people to listen to his anthems.

The youthful Tanzanian politician articulates that her bid to promote Harmonize, has seen many embrace and listen to his songs as well as love the star.


Speaking up and close during an event held in Kisarawe by the ´Tetema´ singer, Jokate expresses:

Mimi actually ndio nimefanya watu wengi wilayani kwangu wampende Harmonize.



She further surprisingly reveals that Harmonize´s Kainama and Kwangwaru jams are their recent best hits:

Sasa hivi wimbo ambao tunaupenda ni Kainama na Kwangaru,

Na sio unafiki.

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mhe Jokate Mwegelo ameeleza kuwa yeye ndiye aliyefanya watu wengi wa Kisarawe wampende msanii Harmonize pia wapende kazi zake. Akizungumza na mwandishi kwenye futari iliyoandaliwa na Harmonize Wilayani Kisarawe, Mhe Jokate emesema kuwa amekuwa akitumia nyimbo za Harmonize kwenye matukio ya kijamii “Mimi actually ndio nimefanya watu wengi wilayani kwangu wampende Harmonize, Sasa hivi wimbo ambao tunaupenda ni Kainama na Kwangaru, Na sio unafiki sisi nyimbo zake tunazitwanga sana, maana yake ukiingia field lazima upige muziki kidogo. Sisi Kwangwaru, Kainama na hii Never Give Up tunaisikiliza kwa sababu inaamsha.” amesema DC Jokate. Hakumaliza hapo Mhe amemshauri msanii Harmonize aoe pia amemkaribisha kuwekeza Wilayani Kisarawe. . . . #MbagalaYetu #TagNaWanao 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad