AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kufuatia Katazo la Matumizi ya Mifuko ya Plastiki kuanzia tarehe 1Juni 2019, Ofisi ya Makamu wa Rais imeandaa namba maalumu za simu kwa ajili ya wananchi kuuliza maswali na kutoa maoni, ushauri ama taarifa yoyote.
Mwananchi hataingia gharama kupiga simu katika namba hizi ambazo zinapatikana masaa 24, ukiwa na swali, maoni, ushauri ama taarifa yoyote usisite kuwasiliana nasi au kutuma ujumbe mfupi (SMS) au Ujumbe wa Whatsapp kwa namba zifuatazo:
KUPIGA BILA MALIPO SMS/WHATSAPP
(0800 110 115) +255 737 796 253
(0800 110 116) +255 737 796 252
(0800 110 117) +255 737 796 249
(0800 110 118) +255 737 796 250
(0800 110 119) +255 737 796 251
• Namba hizi zitaanza kutumika rasmi siku ya Jumatatu 27/05/2019
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
25 MEI 2019
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK