AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli amehakikishiwa hilo leo, Mei 26, alipotembelea Ikulu Jijini Pretoria kufanya mazungumzo na Rais Ramaphosa, ikiwa ni siku moja baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa nchi ya Afrika Kusini.
Pamoja na mambo mengine, Rais Magufuli amempongeza Rais Ramaphosa kwa kuapishwa na kumhakikishia kuwa Tanzania itaendeleza uhusiano wa kidugu na kihistoria na nchi hiyo, ulioasisiwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Hayati Nelson Mandela.
Katika salamu zake za kumshukuru Rais Magufuli kwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwake, Rais Ramaphosa amesema kufuatia uamuzi wa Afrika Kusini kuanza kufundisha Kiswahili, nchi yake itachukua walimu wa Kiswahili kutoka Tanzania ili wafundishe somo hilo katika shule za msingi na sekondari nchini humo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK