AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Miili hiyo ilifukuliwa kutoka kwenye mashimo ya pamoja katika mji mkuu wa nchi hiyo Kigali .
Shughuli ya kufufua miili hiyo ilianza Aprili mwaka jana. Baadhi ya miili ilifukuliwa kutoka majengo ambayo yalibomolewa.
lipangwa kuwa shughuli ya kuwazika wahanga hao kwa heshima ifanyike Machi 29, 2019, lakini iliahirishwa baada ya mamlaka nchi humo kusema kuwa makaburi mengi ya pamoja yalikuwa yamegundulika katika maeneo mengi.
Mabaki ya miili hiyo yatazikwa katika makumbusho ya mauaji ya kimbari ya Nyanza Genocide Memorial katika wilaya ya Kicukiro jijini Kigali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK