Rwanda: Wahanga wa mauaji ya kimbari ya Rwanda zaidi ya 84,000 kuzikwa leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shughuli ya kuzika kwa heshima miili zaidi ya 84,000 ya wanyarwanda waliokufa wakati wa mauaji ya kimbari ya 1994 imeanza katika eneo la makumbusho ya mauaji hayo la Nyanza Kicukiro Memorial mjini Kigali.

Miili hiyo ilifukuliwa kutoka kwenye mashimo ya pamoja katika mji mkuu wa nchi hiyo Kigali .

Shughuli ya kufufua miili hiyo ilianza Aprili mwaka jana. Baadhi ya miili ilifukuliwa kutoka majengo ambayo yalibomolewa.

lipangwa kuwa shughuli ya kuwazika wahanga hao kwa heshima ifanyike Machi 29, 2019, lakini iliahirishwa baada ya mamlaka nchi humo kusema kuwa makaburi mengi ya pamoja yalikuwa yamegundulika katika maeneo mengi.

Mabaki ya miili hiyo yatazikwa katika makumbusho ya mauaji ya kimbari ya Nyanza Genocide Memorial katika wilaya ya Kicukiro jijini Kigali.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad