Sijazoea Huu Mwili Napepesuka - Wema

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sijazoea Huu Mwili Napepesuka - Wema
Staa mwenye jina lake Bongo, Wema Abraham Sepetu amesema kuwa hata yeye mwenyewe huo mwili alionao hajauzoea hata kidogo maana kuna wakati anajisikia mwepesi mpaka anapepesuka. Akizungumza na Ijumaa, Wema alisema ni ngumu kuwa na mwili mnene halafu baadaye kuwa mwembamba lazima mabadiliko yatokee hasa ukiwa umeondosha kilo nyingi.

“Kiukweli kuna muda nakuwa bado sijauzoea huu mwili hata kidogo unaweza ukakaa lakini ukiinuka unapepesuka unajua bado una mwili uleule mkubwa,” alisema Wema ambaye ameondoa takribani kilo 25 mwilini mwake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad