Uchebe Apiga Maombi Maalumu Kwaajili ya Mkewe Shilole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MUME wa wanamuziki wa miondoko ya mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, Ashiraf Uchebe amesema yuko kwenye maombi kwa ajili ya kumuombea mkewe ili aendelee kubadilika na kuachana na mambo yasiyompendeza Mungu.  Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Uchebe alisema Shilole wa sasa sio wa zamani na kwa watu waliokuwa wakimjua lazima wanaona kuna mabadiliko makubwa.

“Hata hivyo sijachoka kwa sababu nampenda mke wangu huyu ambaye mimi naona ni zawadi kutoka kwa Mungu, bado nipo kwenye maombi ya kumuombea abadilike kabisa ili arejee kwa Mwenyezi Mungu mazima. Mwanzo nilidhani itakuwa kazi ngumu kumbadili lakini imekuwa rahisi sana na kila kukicha anabadilika,” alisema Uchebe
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad