Watu 11 Wauawa Kwa Kupigwa Risasi Katika Shambulio Lililotokea Brazil

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TAKRIBAN watu 11 wameuawa baada ya watu wenye silaha kuvamia baa moja na kuwashambulia kwa risasi watu waliokuwemo ndani ya baa hiyo iliyopo katika jimbo la Para kaskazini mwa Brazil.



Msemaji wa jimbo hilo, Natalia Mello, amesema washambuliaji hao waliokuja wakiwa kwenye magari na pikipiki waliwashambulia watu hao kabla ya kukimbia.


Mello amesema vifo hivyo vilihusisha wanawake sita na wanaume watano ambapo  polisi wamesema washambuliaji hao walikuwa saba, na mmoja alijeruhiwa kwenye shambulizi hilo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad