AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Geoffrey Mwambe ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Chama cha Maendeleo Makete (MDA) uliofanyika Jijini Dar es Salaam ambapo alisema pamoja na Chama kuwa na lengo la ushirika pia kinatakiwa kuongeza hamasa/nguvu katika eneo la kuwekeza kwa maendedeleo ya Makete na Taifa kwa ujumla. Jambo hili likifanikiwa litakuwa na tija zaidi kwa Wanamakete kutokana na fursa nyingi zilizomo ndani ya Wilaya hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK