Amber Lulu Atamba Kumng'oa Sarah kwa Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWANAMUZIKI wa kike anayefanya vizuri kwenye anga la Bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ ametamba kumtoa mchumba wa mkali kutoka kundi la Wasafi Classic Baby (WCB), Rajab Abdulhan ‘Harmonize’, Sarah Michelotti endapo ataonesha udhaifu.

Awali, chanzo kilicho karibu na msanii huyo kilieleza kuwa, Amber amekuwa na ukaribu wa hali ya juu na msanii huyo kiasi kwamba lolote linaweza kutokea endapo nafasi itapatikana.

“Amber Lulu msimuone hivyo tu, anapenda sana kila kitu kutoka kwa Harmonize na kuna kipindi alisema atafanya juu chini ili Sarah akae pembeni na yeye ndio awe mama mjengo kwa sababu anampenda sana sana mwanamuziki huyo,” kilisema chanzo hicho.

Kama hiyo haitoshi, chanzo hicho kiliendelea kueleza kuwa, mara nyingi Amber anapenda sana kujichanganya WCB kwa ajili tu ya kuwa karibu na Harmonize.

Baada ya ubuyu huyo kutua gazetini, Ijumaa liliamua kumtafuta Amber Lulu ambapo alipopatikana aliweka wazi kuwa Harmonize ni mshkaji wake wa karibu lakini lolote linaweza kutokea.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad