AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Mohamed Bashe, amemtakia heri waziri mpya wa Viwanda na Biashara Mh. Innocent Bashungwa, huku akibainisha kuwa utendaji kazi wake si wa mashaka.
Bashe amemwelezea Bashungwa kama mtendaji ambaye uwezo wake wa kutekeleza majukumu yake, bila shaka atafikia matarajio ya taifa kwenye wizara hiyo.
''Hongera sana Innocent, nakutakia heri kwa tunaokufahamu tunaamini utafikia matarajio ya wengi na taifa ,Kila la kheri Chief.'', ameeleza Bashe.
Bashungwa ambaye ni Mbunge wa Karagwe aliyechaguliwa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliwahi kuwa Naibu waziri wa Kilimo akiteuliwa na Rais Magufuli, Novemba 10, 2018.
Katika Wizara ya Viwanda na Biashara, Bashungwa amechukua nafasi ya Mh. Joseph George Kakunda ambaye uteuzi wake ulitenguliwa Juni 8, 2018.
EATV
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK