AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lulu Diva amefunguka kuwa amemuajiri mdada huyo pichani kuwa bodigadi wake. Akizungumza na GPL amesema anamlipa million 1 Kwa mwezi na kazi yake kubwa ni kuhakikisha star huyo anakula ninii, kumchagulia nguo za kuvaa Kwenye shows, kumbebea pochi na kukagua gari lake kabla ya Diva huyo kupanda. Amesema binadamu hawaaminiki wamejawa na husda sana ndio maana ameamua kujiwekea bodigadi
Kwanini hajaajiri bodigadi wa kiume kama wengi wafanyavyo?
Star huyo wa Wimbo wa Mapopo amesema ameona bodigadi wa kike wataelewana na kusikilizana vizuri zaidi kuliko mwanaume
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK