AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu za ligi kuu, Kagera Sugar na Mwadui FC zitatoa timu moja ambayo itayosalia katika ligi baada ya dakika 90, huku timu za daraja la kwanza, Pamba FC na Geita FC pia zikigombe nafasi moja.
Kagera Sugar leo itakuwa kibaruani kucheza mchezo wa pili dhidi ya Pamba katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, huku Mwadui FC ikimenyana na Geita FC uwanja wa Mwadui mjini Shinyanga.
Katika michezo ya awali, timu zote mbili zina kumbukumbu ya kutoka suluhu kwenye mechi zao, hivyo leo ni lazima washindi wawili wapatikane ili kutimiza idadi ya timu 20 zitakazocheza ligi kuu msimu ujao .
Kama Mwadui na Kagera zitapoteza mchezo wa leo basi itakuwa fursa kwa Pamba na Geita kupanda chati na kupata nafasi ya kushiriki ligi kuu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK