AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia taarifa iliyotolewa na msemaji wa mtandao wa instagram akiuambia mtandao wa Motherboard, toleo hili la mtu kurejesha akaunti yake litafanyika ndani ya app ya instagram, mtumiaji ambae amedukuliwa atatakiwa kujaza email yake au namba ya simu na instagram itatuma tarakimu sita ambazo zitasaidia kurejesha akaunti yako, si hivyo tu, endapo mdukuzi atakuwa amedukua mpaka email yako na namba yako ya simu, instagram wanadai kuangalia kifaa cha meanzo ambacho ulitumia kutengeneza email yako.
Msemaji huyo alisema;-
“Tunajua kuwa kupoteza upatikanaji wa akaunti yako inaweza kuwa jambo lenye kutisha. Tuna hatua za kuacha akaunti
pamoja na hatua za kuwasaidia watu kurejesha akaunti zao,” aliongeza “Lakini tuliposikia kutoka kwa jumuiya kwamba hatua hizi hazitoshi, na watu wanajitahidi kupata upatikanaji wa akaunti zao “watu wanapatashida ya kufikia na kuzitumia akaunti zetu za Instagram.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK