RwandAir yazindua ndege kuelekea Guangzhou, China

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shirika la Ndege nchini Rwanda, RwandAir limezindua ndege yake kuelekea kitovu cha biashara cha China Guangzhou, na kuifanya kuwa kituo cha 28 cha ndege hiyo kuenda.

Ndege RwandAir kuelekea uwanja wa ndege wa Kimataifa ya Baiyun Guangzhou itafanya safari zake mara tatu kwa wiki na Airbus A330 kupitia Mumbai, kwa mujibu wa viongozi wa RwandAir.

Guangzhou ni kitovu kikuu cha uagizaji wa bidhaa mbalimbali kuelekea Rwanda na njia mpya - ya kwanza kati ya mji wa China na Kigali ndege hii inatarajiwa kuongeza biashara na kurahisisha usafiri kati ya miji miwili.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad