AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge Mabula ametoa kauli hiyo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu alipokuwa akiuliza swali la nyomngeza kwenda kwa Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi.
Swali
Mbunge Mabula aameuiliza kuwa : Mb. Mabula : Magari ya polisi yanategemea hisani ya Wabunge, nini mkakati wa Serikali?
Majibu ya Waziri
Naibu Waziri Masauni : Changamoto kubwa ni bajeti, wakati mwingine magari haya yanahitaji matengenezo makubwa ambayo yanahitaji fedha, niwapongeze wadau wanaojitokeza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK