Serikali yajibu kuhusu polisi kuwategemea Wabunge

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge Stanlaus Mabula amehoji juu magari ya polisi kutotengenezwa katika gereji za kisasa kama ilivyokuwa kwenye magari ya viongozi, huku akieleza mara nyingi polisi hao wamekuwa wakitegemea hisani ya Wabunge.


Mbunge Mabula ametoa kauli hiyo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu alipokuwa akiuliza swali la nyomngeza kwenda kwa Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi.

Swali

Mbunge Mabula aameuiliza kuwa : Mb. Mabula : Magari ya polisi yanategemea hisani ya Wabunge, nini mkakati wa Serikali?

Majibu ya Waziri

Naibu Waziri Masauni : Changamoto kubwa ni bajeti, wakati mwingine magari haya yanahitaji matengenezo makubwa ambayo yanahitaji fedha, niwapongeze wadau wanaojitokeza.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad