AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na eNews ya East Africa Television, alipofika City Mall kutoa mchango wake kwenye kampeni ya Namthamini, Mimi aliweka wazi kuwa alianza kutumia khanga kabla ya pads hivyo anajua ni jinsi gani inamkosesha binti kujiamini.
Mbali na Mimi Mars, msanii Chemical naye amepongeza kampeni hiyo huku akishauri kuwa uwepo utaratibu wa wanafunzi kupewa pads shuleni kama ilivyo jeshini ambako yeye mwenyewe alijiunga na kukuta wanapewa bure.
Kwa upande wake Malkia Karen yeye amefunguka kuwa katika maisha ya sasa Pads zinahitajika sana ili kumfanya binti ajiamini muda wote akiwa na hedhi.
Wewe pia unaweza kuchangia kwa kuleta mchango wako kwenye ofisi za East Africa Television au kutuma kupitia akaunti no 0150431938200 CRDB jina Namthamini au Airtel Money namba 0787633313 jina East Africa Television.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK