Tyson Furry amtwanga KO bondia Tom Schwarz kutoka Ujerumani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bondia maarufu kutoka Uingereza, Tyson Furry alfajiri ya kuamkia jana alimtwanga KO bondia kutoka Ujerumani, Tom Schwarz kwenye mchezo wa uzito wa juu.

Mchezo huo usiokuwa wa ubingwa umepigwa katika ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas, Marekani ambapo Tyson alimpiga KO mbabe huyo kwenye raundi ya pili ya pambano hilo lililokuwa na raundi 12.

Kabla ya kupoteza pambano la hilo, Shwarz alikuwa na rekodi ya kushinda mapambano yote aliyowahi kushiriki, ameshinda 24 (KO 16).

Baada ya pambano hilo, Tyson Furry amethibitisha kuwa mwezi Oktoba watarudia pambano na mbabe Deontay Wilder huku akimchimba mkwara mzito. Kwenye pambano la kwanza lisilo la ubingwa, lililopigwa mwezi Machi mwaka huu, Tyson Furry alitoka sare na Deontay Wilder.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad