Ajali ya Basi la Kampuni ya Kisbo Leo Asubuhi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


AJALI YA BASI: Basi la kampuni ya Kisbo, linalofanya safari zake kutoka Tabora kwenda Dar-es-salaam kupitia barabara ya Itigi ambayo ipo kwenye matengenezo, limeanguka asubuhi majira ya saa mbili eneo la Kijiji cha Tura.

Taarifa za awali kutoka eneo la tukio zinadai hakuna aliyepoteza maisha.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad