Ajibu Aacha Ujumbe Mzito Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliekuwa nahodha wa klabu ya Yanga, Ibrahim Ajib ameacha ujumbe wa mwisho kwa mashabiki pamoja na uongozi wa klabu hiyo, aliyodumu nayo kwa misimu miwili.


Hiyo imekuja siku moja baada ya kutangazwa kujiunga na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara TPL, Simba SC kwa mkataba wa miaka miwili, klabu ambayo ndiyo iliyomtambulisha katika soka.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ajib ameandika ujumbe akisema, "hakika ilikua miaka miwili bora sana kwangu, ndani na nje ya uwanja, Yanga ilikua sehemu ya familia yangu. Nitoe shukrani zangu za dhati kwa viongozi, benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki wote kwa kuniamini na kuniunga mkono kwa kila jambo. Ni mengi nimejifunza na nina amini yatanisaidia kunijenga zaidi kama mchezaji. Asanteni sana."

Ajibu alicheza kwa kiwango kikubwa msimu uliopita akiwa na Yanga, ambapo alifanikiwa kuibuka mtoa 'assist' bora wa TPL, akitoa jumla ya 'assist' 14 na kuisaidia Yanga kumaliza nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad