AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajibu amejiunga na Simba msimu huu akitokea Yanga kwa mkataba wa miaka miwili atapambana na viungo wengine ndani ya kikosi hicho wakiwemo Francis Kahata na Clatous Chama.
“Suala la ushindani wa namba mimi halinisumbui kwani hiyo ni kazi ya kocha kupanga kikosi, ninachojua mimi nimerejea nyumbani kikubwa ni kupambana ili kufanya vizuri,” amesema Ajibu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK