Ajibu Afunguka Kuhusu Kugombania Namba Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajibu amesema kuwa hana hofu na kukosa namba kwani ushindani upo sehemu zote.

Ajibu amejiunga na Simba msimu huu akitokea Yanga kwa mkataba wa miaka miwili atapambana na viungo wengine ndani ya kikosi hicho wakiwemo Francis Kahata na Clatous Chama.

“Suala la ushindani wa namba mimi halinisumbui kwani hiyo ni kazi ya kocha kupanga kikosi, ninachojua mimi nimerejea nyumbani kikubwa ni kupambana ili kufanya vizuri,” amesema Ajibu.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad