Bodi Ligi Yatangaza Ratiba ya ligi Kuu msimu wa 2019/20

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bodi ya Ligi nchini (TPLB) imetangaza ratiba ya Ligi kuu soka Tanzania Bara msimu wa 2019/20.


Akiongea leo mbele ya wanahabari Afisa Mtendaji mkuu wa Bodi hiyo Boniface Wambura, amesema mchezo wa ufunguzi utapigwa Agosti 23, 2019 kati ya mabingwa watetezi Simba dhidi ya JKT Tanzania.

Wambura amesema wiki moja kabla ya mchezo huo utapigwa mchezo wa Ngao ya Jamii ambao huwakutanisha Mabingwa wa Ligi ambao ni Simba na Mabingwa wa Kombe la Shirikisho ambao ni Azam FC. Mchezo huo utapigwa Agosti 17, 2019.

"Msimu huu tumezingatia ratiba zote za kimataifa na hatutarajii mabadiliko ya ratiba kwa sababu zizisokuwa za msingi", amesema Wambura.

Kwa upande wa mchezo wa watani wa jadi raundi kwanza utapigwa Januari 4, 2020. Katika mchezo huo Simba watakuwa wenyeji wa Yanga kwenye uwanja wa taifa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad