AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ujumbe alioanza kupost Davido kwenye Insta story yake ulisomeka hivi, ”My brother Wizkid make we finish dem”. Wizkid nae alichukua ile post ya Davido na kuipost kwake huku akiandika 'One time my G'.
Kupitia jumbe hizo za kwenye Insta story zao, zinaonyesha kuna Project inaendelea kati ya hawa watu wawili licha ya hapo nyuma kusemekana wana bifu ingawa walilimaliza kwa kualikana kwenye sho zao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK