Davido na Wizkid Kuja na Kazi Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Davido na Wizkid Kuja na Kazi Mpya
Mastaa kutoka Nigeria, Davido na Wizkid wamethibitisha ujio wa kazi yao mpya kupitia kurasa zao rasmi za mtandao wa Instagram.

Ujumbe alioanza kupost Davido kwenye Insta story yake ulisomeka hivi, ”My brother Wizkid  make we finish dem”. Wizkid nae alichukua ile post ya Davido na kuipost kwake huku akiandika 'One time my G'.

Kupitia jumbe hizo za kwenye Insta story zao, zinaonyesha kuna Project inaendelea kati ya hawa watu wawili licha ya hapo nyuma kusemekana wana bifu ingawa walilimaliza kwa kualikana kwenye sho zao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad