Golikipa wa Singida United Asajiliwa na Gor Mahia ya Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Golikipa wa Singida United asajiliwa na Gor Mahia ya Kenya
Golikipa wa Singida United, David Kissu amesaini kandarasi ya miaka mitatu ya kuitumikia klabu ya Gor Mahia ya nchini Kenya.

Mkurugenzi wa Singida United Festo Sanga amesema kuwa wanamshukuru Mungu kwa kijana wao Kissu kupata nafasi ya kwenda kucheza soka la kulipwa kwenye klabu kubwa Nchini Kenya na Africa Mashariki.

"Tunashukuru mchezaji wetu kupata nafasi hii ya kwenda kucheza Gor Mahia na huu ni mwendelezo wa klabu yetu kuwaruhusu na kuwatafutia nafasi wachezaji wetu kucheza kwenye klabu kubwa kuliko sisi ndani na nje ya nchi" Sanga

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad