House girl Aliemuua Bosi wake Alivyokamatwa Kiteknolojia (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ni story kutokea Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwa ni muendelezo wa ushahidi wa kesi ya mauaji inayomkabili mfanyakazi wa ndani (House Girl) Onorina Shaban (19) anayedaiwa kumuua Bosi wake.

Ushahidi unaendelea kutolewa na Nume wa marehemu John Thomas mbele ya Naibu Msajili wa Mahakama, Pamela Mazengo huku akiongozwa na Wakili wa Serikali, Grace Mwanga.

Katika ushahidi uliopita Thomas aliishia jinsi walivyomzika mke wake huyo Sylvester Njau pamoja na hatua za upekuzi zilivyofanyika nyumbani kwake na kubaini kuvunjwa kwa makabati, kukutwa kwa shoka lenye damu, huku vitu mbalimbali vikiwa havipo.

VIDEO:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad